Saturday, 27 January 2018

loy1

THE FIRST SAMPLE POST

Kesi inayomkabili Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu na wahariri wa Gazeti la Mawio katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeahirishwa hadi Februari 26.
Wakili wa Serikali, Elia Athanas jana alimueleza Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba kuwa kesi imepangwa kwa ajili ya kutajwa na kwamba hadi sasa hawajajua hali ya mshtakiwa wa nne, Lissu.
Kesi hiyo ambayo ipo katika hatua ya usikilizwaji wa ushahidi wa upande wa mashtaka, inamkabili Lissu na wenzake Simon Mkina, Jabir Idrisa na Mchapishaji wa Kampuni ya Jamana, Ismail Mehbooh.
Kwa pamoja washtakiwa hao, wanakabiliwa na mashtaka matan

loy1

About loy1

TM-THINK is local registered Management Consultancy Company. Expertise in Physical Assets verification, tagging, Asset Systems and update processes.

Subscribe to this Blog via Email :