Saturday, 27 January 2018

loy1

JARIBIO LA PILI HAPA

Serikali imesitisha utoaji wa pasi za kusafiria ‘passport’ za jumla za makundi mpaka pale utakapopatikana utaratibu rasmi na mzuri kati ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na serikali ya nchi husika.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dkt Mwigulu Lameck Nchemba kufuatia kuwepo kwa mikasa ya kunyanyaswa, kutumikishwa na kuteswa kikatili  kwa baadhi ya watanzania wanaokwenda nje ya nchi kwa jili ya kufanya kazi mbalimbali ikiwemo kazi za ndani.

loy1

About loy1

TM-THINK is local registered Management Consultancy Company. Expertise in Physical Assets verification, tagging, Asset Systems and update processes.

Subscribe to this Blog via Email :