Saturday, 27 January 2018

    loy1

    JARIBIO LA TATU LA KUPOST HAPA

    Serikali imesitisha utoaji wa pasi za kusafiria ‘passport’ za jumla za makundi mpaka pale utakapopatikana utaratibu rasmi na mzuri kati ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na serikali ya nchi husika.
    Hayo yamesemwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dkt Mwigulu Lameck Nchemba kufuatia kuwepo kwa mikasa ya kunyanyaswa, kutumikishwa na kuteswa kikatili  kwa baadhi ya watanzania wanaokwenda nje ya nchi kwa jili ya kufanya kazi mbalimbali ikiwemo kazi za ndani.
    loy1

    JARIBIO LA PILI HAPA

    Serikali imesitisha utoaji wa pasi za kusafiria ‘passport’ za jumla za makundi mpaka pale utakapopatikana utaratibu rasmi na mzuri kati ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na serikali ya nchi husika.
    Hayo yamesemwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dkt Mwigulu Lameck Nchemba kufuatia kuwepo kwa mikasa ya kunyanyaswa, kutumikishwa na kuteswa kikatili  kwa baadhi ya watanzania wanaokwenda nje ya nchi kwa jili ya kufanya kazi mbalimbali ikiwemo kazi za ndani.
    loy1

    THE FIRST SAMPLE POST

    Kesi inayomkabili Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu na wahariri wa Gazeti la Mawio katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeahirishwa hadi Februari 26.
    Wakili wa Serikali, Elia Athanas jana alimueleza Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba kuwa kesi imepangwa kwa ajili ya kutajwa na kwamba hadi sasa hawajajua hali ya mshtakiwa wa nne, Lissu.
    Kesi hiyo ambayo ipo katika hatua ya usikilizwaji wa ushahidi wa upande wa mashtaka, inamkabili Lissu na wenzake Simon Mkina, Jabir Idrisa na Mchapishaji wa Kampuni ya Jamana, Ismail Mehbooh.
    Kwa pamoja washtakiwa hao, wanakabiliwa na mashtaka matan